Mkataba wa kimataifa wa rasilimali za mimea kwa chakula na kilimo

Mkataba wa kimataifa wa rasilimali za mimea kwa chakula na kilimo [1] (pia unajulikana kama ITPGRFA, mkataba wa kimataifa wa mbegu au mkataba wa mimea [2]) ni makubaliano ya kimataifa kuhusu anuwai ya Biolojia, ambayo inalenga kuhakikisha upatikanaji wa chakula.

  1. "International Treaty on Plant Genetic Resources for Food and Agriculture". Food and Agriculture Organization of the United Nations. Iliwekwa mnamo 2022-04-02.
  2. "Golay C. (2017), Research Brief: The Right to Seeds and Intellectual Property Rights" (PDF).

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search